Welcome to the blog of Mr. Chesco Kilemile who is a renowned singer who came on in the industry singing gospel music. If you like this blog tourism will get to know my work and events relating to the preparation of my work in general ..... thank you for visiting this blog .....

Monday, December 15, 2014

JOY CELEBRATION WATINGISHA KENYA

Kundi la injili maarufu nchini Afrika Kusini laburudisha nchini Kenya
 
KUNDI maarufu la Joyous Celebration siku ya jana wametingisha katika nchi ya jirani ya Kenya na kukonga mioyo ya mashabiki wa nyimbo za injili.

 Kundi la Joyous Likiwa linaingia 
 Kama Kawaida Kundi likiwa linajipanga kufanya kweli siku ya jana
 Kama kawa...
 Back Stage 
 Back Stage kundi la Joyous
 MKHULULI, akiongoza Wakenya kwenye nyimbo alizoongoza katika albam za Joyous, Itshokwadi, Timbira na  Wasara Wasara
 Kijana wa Kizimbabwe ndani ya Kenya na Kundi la Joyous
 Watu Wakienda Sawa
                            Kundi la Joyous Celebration
Wakiimba kwa hisia kali

No comments:

Post a Comment