Gari la Mgombea Ubunge jimbo la Mbeya mjini kwa pitia tiketi ya Chadema Mh.Jiseph Mbilinyi Sugu likiwa kituo cha polisi jijini mbeya mara baadaa ya kushambuluwa kwa mawe
Mgombea wa ubnge kupia Chadema Joseph Mbilinyi Sugu kupia jimbo la Mbeya Mjini akiwa katika Mjini mara baada ya kushambuliwa na watu wasiojukana akiwa katika kampeni zake za kuomba kura kwa wananchi mara ghafla akajikuta akishunmbuliwa akiwa katika gari la aina ya Land Cruser VX lenye usajili T161 CPP. Watu wawili wajeruhiwa katika tukio akiwemo dereva wake
Tukio hilo lilitokea Majira ya 11 jioni katika Kata ya Ghana mtaa wa Mbata jijini Mbeya.
No comments:
Post a Comment