Comments yamgu for. Each viewer or musomaji wa blog hii msiacha kutosoma kila siku upate kuondowa msongo wa mawazo tujadiliane kwa pamoja mimi nimepitia mambo mengi magumu sijaweza kuteteleka wala kukata tamaa nimeuona mkono wa Bwana ukinipigani je kuna jambo gani gumu asiloliweza Mungu? Hapana yote yana wezekana katika yeye atutiaye nguvu huu ni mwaka wa kuinuliwa mwaka wa kicheko usiji nyonge usijiuwe Mungu ana kupenda kama ni msukosuko yakudaiwa Mimi nilidaiwa sana mpaka kuuziwa vitu vyangu lakini sikuteteleka hayo yote yasikufanye ukakosa matumaini mtumaini Mungu
No comments:
Post a Comment